RAIS DK.MWINYI AONGOZA MAADHIMISHO YA MWAKA MPYA WA KIISLAMU 1444 HIJRIA
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi, amesema serikali itatoa tamko kuifanya siku ya mwaka mpya wa kiislamu kuwa ya mapumziko. Aliyasema hayo jana katika kongamano la maadhimisho ya mwaka mpya wa kiislamu 1444, lililofanyika msikiti wa Jamiu Zinjibar, Mazizini. Aidha alisema, maadhimisho hayo yatafanyika kwa mzunguko kati ya Unguja
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed